Martin Kadinda Abeba Tuzo Ya Ubunifu Wa Mavazi

Mbunifu wa mavazi na aliyekuwa meneja wa muigizaji wa Bongo movie Wema Sepetu, Martin Kadinda amenyakua tuzo Kama mbunifu bora wa mavazi wa mwaka 2018.

Katika Usiku wa Maonyesho ya Mavazi ya Kiume yaliyofanyika Lagos nchini Nigeria siku ya Novemba 16, 2018, mbunifu wa mavazi maarufu Bongo, Martin Kadinda alijinyakulia tuzo hiyo kubwa na ya heshima.

download latest music    

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Martin Kadinda aliandika:

To the World., Designer of The Year Africa?@themanawardsAfrica’s Designer of The Year 2018…!! ??Am Humbled. The World Is ReadY?

Shukurani Za dhati kwa mwenyezi Mungu kwa Afya, akili na ubunifu…Shukrani kwa Wizara Ya Habari, michezo na Utamaduni Kupitia Basata.Shukurani za Dhati kwa Familia, mama Yangu, dada na kaka zangu.. wadogo zangu na ndugu zangu wote…@wemasepetu and Ur Amaizing Team wema and die Hard fans??????..MK empire with All the Love and Support always??My friends mnajijua.. cant mention all of you.. ila asante sana.

Las Vegas nawasahauje sasa????. Majirani zangu vipenzi sijawasahau.Nitamaliza wote ? My fans in Belgium, south africa, Holland, china, states and All of the World ?.

Martini alianza kujizolea umaarufu kwenye ulimwengu wa fashion miaka kadhaa iliyopita Baada ya kutoka na staili ya makoti ya single button ambayo ilivaliwa na mastaa wakubwa Kama Diamond Platnumz na Hemed PHD.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.