Masanja Mkandamizaji Amuita Kanye West Chizi

Muigizaji wa Vichekesho Bongo ambaye hivi sasa amegeukia kuwa Mchungaji Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja Mkandamizaji amejikuta akimtolea povu zito Rapa kutoka Marekani Kanye West.

Sakata hilo lilianza pale ambapo Msanii huyo kutoka Marekani ambaye anajulikana kwa vituko vyake aliandika Kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa:

download latest music    

We are Gods’ akimaanisha, ‘Sisi ni Miungu“.

Baada ya Kanye kuandika maneno hayo aliwachanganya mashabiki wengi ambao ni wacha Mungu akiwemo Masanja ambaye alishindwa kujizuia na kumwagia povu zito na kumuita chizi.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Masanja aliandika:

Huwaga una umama sana.”“Acha kuvuta bangi.”“Wewe ni kenge.”

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.