Mashabiki Wampiga Dongo Wastara Mwezi huu wa Ramadhani.

Mwanadada wastara amekumbwa na maneno mazito katika mitandao ya kijamii baada ya kuweka picha yake akiwa anasali na ndipo watu walipoanza kumshambulia kwa maneno na kumwambia kuwa mtu mwenye imani kweli ya dini hawezi kufabya alivyofanya yeye  wakati anasali.

moja ya shabiki wake wanaomfuata aliandika maneno ya kumshushua wastara huku akisema”sasa wewe unasali au unaonyesha watu kuwa wewe ni mcha mungu na kama unaamua kufanya hivyo kama kuna mashindano basi umechemsha,kila kitu unaweka instagram, eeh umechemsha.”

download latest music    

Mashabiki wamekuwa wakikwerwa na tabia za wasanii kuweka picha na kutangaza kila kitu wanachofanya katika mitandao ya kijamii na kuwatolea maneno makali.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.