Mashabiki Wamtolea Povu Kiba, Baada ya Kumpost Baby J Badala ya Jokate

mwanadada  kutoka zanzibar amejikuta akiingia midomoni mwa mashabiki na kusemwa kuwa amekuwa akitoka kimapenzi na msani wmenzak alikiba baada ya msanii huyo alikiba kupost Baby Jay katika siku yake ya kuzaliwa na kuacha kumpost Jokate ambae alikuwa nae katika mahusiano.

Mashabiki walianza kumshutumu Alikiba na kumwambia kuwa kwanini ameweza kumpost Baby Jay na kumuacha Jokate ambae pia ilikuwa siku yake ya kuzaliwa na ndie aliyekuwa mpezni wake hata kama kwa sasa wameachana.

download latest music    

Katika siku hiyo wa kuzaliwa ya Jokate, watu wengi walimpost na ikitegemewa kuwa Alikiba atakuwa ni mmoja kati ya wengi watakaoweka picha na kupost kitu kuhusu siku yake ya kuzaliwa lakini haikuwa kama hivyo.

Hata hivyo katika baaadhi ya comments za mashabiki wamesma kuwa Alikiba na Baby j wamekuwa wapenzi tangu zamanikwaio inawezekana kuwa wawili hao wamerudiana na ndio maana nafasi ya jokate imechukuliwa.

 

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.