“Mashabiki Zangu Hawahitaji Kumjua Mpenzi Wangu”-Lavalava

Msanii wa muziki wa Bongo fleva anayefanya vizuri chini ya Label ya WCB, Abdul maarufu kama Lavalava amefunguka na kuweka wazi kuwa hawezi kumuanika Mpenzi wake  hadharani.

Tofauti na wasanii wenzake wa WCB, Lavalava pekeee Ndiye ambaye amekuwa akimficha Mpenzi Wake na haijawahi kujulikana ana mahusiano na mwanamke gani tangu alipopata umaarufu.

download latest music    

Kwenye mahojiano aliyofanya na Global Publishers, Lavalava ameweka wazi kuwa haoni ulazima wa yeye kumuonesha mchumba wake kwasababu sio malengo yake na itaharibu kabisa mfumo wa muziki wake kwasababu watu watavumisha sana.

Nadhani sio lazima sana watu kujua uhusiano wangu kwasababu hayo ni mambo yangu binafsi jamani yaani kama ningekuwa sijatoa ngoma kwa muda mrefu basi ingekuwa ni haki y a o kuhoji lakini u h u s i a n o wangu hauwah u s u kwasab a b u malengo yangu ni kufanya muziki wangu ujulikane zaidi kuliko mahusiano yangu”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.