Mashabiki Zangu Hawapendi Nitumie Mkorogo :-Upendo Nkone

Msanii wa injili wa siku nyingi, Upendo Nkone amefunguka na kusema kuwa alichogundua ni kwamba mashabiki zake hawapendi kabisa yeye hatumie mkorogo kwa sababu kila anapojaribu wamekuwa wakimshambulia sana katika mitandao ya kijamii.

Msanii huyo anasema kuwa mara ya kwanza aliwhi kujaribu kufanya hivyo lakini mashabiki zake walimjia juu sana na kuanza kumtukana na hata kumwambia kuwa hapendezi akifanya hivyo, na kwa sababu ameuwa aiwasikiliza mashabiki zake basi na yeye aliona bora aache kufanya hivyo.

download latest music    

Kuna wakati nilianza kutumia mkorogo,mashabiki wakaanza kunijia juu nikaona uwa hawapedni basi na mimi nikaacha.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.