
Asubuhi ya leo msanii wa Bongo movie, Elizabeth Lulu Michael amefungwa na mahakama kuu kifungo cha miaka minne jela.
Mastaa mbalimbali wa Bongo movie na Bongo fleva wamejitokeza ili kumfariji Lulu na familia yake katika kipindi hiki kigumu.
Loading...
Hawa ndio mastaa kwa kupitia mtandao wa YouTube waliojitokeza kumpa moyo na kumfariji Lulu;
1. Diamond Platnumz
2. Wema Sepetu
3. Dr. Cheni
4. Irene Uwoya
5. Dogo Janja
6. shilole
7. Aunty Ezekiel
8. Linah Sanga
9. Shilole
Comments
Leave a Reply
in Entertainment
Loading...

Recommended Posts

Casto Dickson Atangaza Ndoa
April 25, 2018

Idris Ajitokeza Kuunga Mkono Maandamano ya Amani.
April 25, 2018
Mtihani mgumu ila ndo hivo basi
Mamake Kanumba amepata kutulia pia ndio wanadam tulivyo
Pole sana dada
Inauma sana yaani
Pole sana lulu Mola akupe nguvu