Mastaa Wazidi Kumlilia Lulu Baada Ya Kutupwa Jela Kwa Miaka Miwili

Asubuhi ya leo msanii wa Bongo movie, Elizabeth Lulu Michael amefungwa na mahakama kuu kifungo cha miaka minne jela.

Mastaa mbalimbali wa Bongo movie na Bongo fleva wamejitokeza ili kumfariji Lulu na familia yake katika kipindi hiki kigumu.

download latest music    

Hawa ndio mastaa kwa kupitia mtandao wa YouTube waliojitokeza kumpa moyo na kumfariji Lulu;

1. Diamond Platnumz

2. Wema Sepetu

3. Dr. Cheni

4. Irene Uwoya

5. Dogo Janja

6. shilole

7. Aunty Ezekiel

 

8. Linah Sanga

9. Shilole

.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.