Maswali Unayoweza Kumuuliza Mpenzi Wako Na Kujenga Mahusiano.
Hakuna mapenzi yenye raha kama yale ambayo wowote wawili mnaweza kuwa marafiki na mkawa huru sana katika kusema kile unachokuwa unajisikia kwa mwenzako.Kuna maswali yanaweza kuwa ya ajabu au yanaweza kuwa ya kufurahisha na yenye kuchekesha sana lakini yanaweza kuwa ndio yanajenga sana mahusiano yenu .
Jaribu kutenga muda wa utani na maswali ya masihara kwa mwezi wako kama ;-
- Unakumbuka nini cha utotoni ambacho uliwahi kufanya?
- kwenye hii tamthilia unampenda mwigizaji gani?
- nafikiri nimepoteza namba yangu ya simu , naweza chukua ya kwako?
- ni kipi kinachoweza kukufanya ucheke zaidi katika maisha yako?
- .kwa mfano wewe ungekuwa muhudumu ungechagua watu wa jinsia gani wa kuwahudumia ?
- umewahi kutuma maombi ya urafiki kwa rafiki wa kike?
- kabla ya mimi umewahi kuwa na nani?
- je unaweza kukosa kitu unachokipenda kwa ajili yangu?
- kama ukijikuta umeangukia kwa mwanamke , utaitumiaje hio siku wewe kama wewe?
- wewe ni wangu?
- unampenda nani?
- unaamini kama kuna mungu?
- unawezaje kumjua mtu kama ni rafiki wa kweli?
- Unapenda kuwa smart au ni vyovyote tu?
- je unweza kukaa na mtu usiempenda?