Mazishi ya Mrembo Agness Masogange(+Picha)
mazishi ya mrmbo agness masogange yamemalizika huku kijijini kwao mbalizi jijini mbeya mabpo marehemu amezika nje ya nyumbani kwa baba yake mzee gerald waya ambae ndio alikuwa akimtegemea mtoto wake katika maisha yake.
Agness alijitahidi na kufikia hatua ya mafanikio ya kumjengea baba yake nyumba ambayo anaishi sasa hivi,Agness alikuwa hajaolewa lakini alikuwa na mtoto mmoja wa kike.
mtoto wa marehemu akiwa mwenye majonzi.
wasanii na watu mbalimbali waliofika katika mazishi.
mtoto wa marehemu akiwa ameketi na baba yake aliyeshika msalaba
msanii belle 9 akiwa mwenye majonzi akiwa akifarijiwa na duma pamoja na mc pilipili, ikumbukwe kuwa jia la masogange lilipatikana katika wimbo wa msanii huyu ambae alimuweka agness kama video
baba wa marehemu akiweka shada la maua katika kaburi la mwanae
jeneza la marehemu likiwa linaingizwa katika kaburi
irene uwoya alikuwa ni moja ya rafaiki wa karibu wa mwanadada agness akiwa katika majonzi mazito.
irene akimfariji mtoto wa marehemu