Mazishi ya Msanii Sam wa Ukweli.
msanii Sam wa Ukweli aliyefariki siku kama tatu zilizopita anazikwa leo muda huu huko kijijini kwao bagamoyo,msiba huu ambao umegusa watu mbalimbali umehudhuriwa na watu maarufu akiwepo Mh Ridhiwani Kikwete.
Mh Ridhiwani Kikwete.
Wasanii Fid q na Gnako.
Ben pol
Snura na waombelezaji wengine wakiwa msibani.