Mchungaji Aliyemtoa Amber Rutty Aongea Sababu ya Kufanya Hivyo.

Mchungaji Daudi Mashimo amefunguka na kutoa sababu kubwa ya yeye kuamua kumtolea dhamana video vixen Amber Rutty ni baada ya kuona kuwa kila mtu alikuwa kimya na hawakutaka kujitokeza kwa ajili ya kumnusu mwanadada huyo.

Mchungaji Mashimo anasema kuwa aliamua kufanya hivyo baada ya kutokea mtu na kumtuma kuhsuu uamuzi huo na kwamba aliemtuma ni mwenyezi Mungu.

download latest music    

Ni kweli nilihusika kuwatoa na hata magereza ni mimi ndio nilienda, jambo la msingi mnatakiwa kujua kuwa Amber Rutty ni mtoto wa mungu  na nisipotumika kwa watu kama hawa sitakuwa mtumishi wa Mungu,  ila kweli natumiwa na ninatumwa na Mungu.

Mchungaji Mashimo anasema ana mengi ya kuzungumza kuhusu Amber Rutty , mpenzi wake na hata Wema Sepetu lakini muda muafaka ukifika atazungumza na sio sasa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.