Mdogo Wa Ndikumana Kuiponda Bongo Movies

Mdogo  wak maraehem Hamad Ndikumana anajulikana kama Laddy  Ndikumana  amefunguka na kuwatukana  wasanii wa bongo movies kwa kuwaita wanafiki kutokana  na kutoonekana katika msiba wa kaka yake wakati kipindi yupo hai wengi walikuwa wakionekana  kuwa karibu nae

Hamad Ndikumana ambae alikuwa mume wa msanii Irene Uwoya awa ndoa na kufanikiwa kupata mtoto mmoja alifariki wiki iliyopita kwa ugonjwa wa moyo na kuzikwa huku kwao nchin Rwanda.Irene Uwoya alifanikiwa kwenda kuzuru karibu la mzazi mwenzie huyo ingawa hakupata bahati ya kuzika mwili wa marehemu.

download latest music    

Akiongea na Big Chawa wa Planet Bongo  ya East Afrika Laddy Ndikumana alisema kuwa  wasanii hao wamekuwa wajinga na wanafiki sana  kwa kuwa wameshindwa kufika katika msiba  wakati kipindi yupo hai wengi walikuwa marafiki zake na walikuwa karibu nae kwa kipindi chote.laddy anasema kuwa kipindi kaka yake alipokwa na hela walikuwa wanakula nae bata kila kukicha.

Wapo baadhi ya wasanii walionyeshwa kuguswa na msiba huo na kufika nyumbani kwa Irene ambapo familia ya mwanadada huyo ilikuwa ikiombeleza  msiba huo kabla ya kupanga safari ya kwenda rwanda kwa ajili ya mazishi ya mwanasoka huyo ingawa hawakuweza kuwahi, hata hivyo wapo baadhi ya watu kutoka bongo movies ambao waliongozana na mwanadada Irene katika kuhani msiba huo akiwepo Mike Sangu ambae alitumwa kama mwakilishi wa bongo movies.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.