Mh Mwakyembe Aagiza Dudubaya Kukamatwa

Waziri anaeshughulikia maswala ya michezo nchini amefunguka na kutoa amri kukamatwa kwa msanii Dudubaya ambae alianza kutoa maneno ya kashaf kwa marehemu Ruge Mutahaba ambae amefariki siku ya jana jioni,.

Marehemu Ruge alifariki akiwa katika matibabu yake nchi Afrika ya Kusini , huku msanii Dudubaya akiwa ameanza kurusha maneno ya kejeli na matuzi kwa mkurugenzi huyo ambae  alikuwa akipigania afya yake tangu akiwa hai.

download latest music    

Hata baada ya kifo, msanii dudubaya aliendelea kutuma maneno ya kejeli katika mitandao ya kijamii na kukwaza watu wengi na hata kuanza kumlili awaziri mwenye  dhamana hiyo kutaka kumchukulia hatau msanii huyo.

Hata hivyo baada ya saa chache tangu kuripotiwa kwa msanii huyo , tayari msanii huyo ameamuriwa kukamatwa na kuwekwa ndani ili  kuthibiti hali hiyo.

Taarifa hiyo ambayo imetolewa na naibu waziri wa habari ,sanaa na micheoz mh juliana shonza anasema kuwa kwa kushirikiana na BASATA  na polisi wanatakiwa kumkamata msanii DUDUBAYA.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.