Mh Rais Atoa Ndege Kusafirsha Mwili wa Marehemu Ruge na Waombelezaji

Mh rais John Pombe magufuli ametoa ruhusa ya kutumika kwa ndege kubwa moja ya AirTanzania kwa ajili ya kusafirisha mwili wa marehemu kutoka jijini Dar es salaam mpaka Bukoba ambako ndipo mwili huo unakwenda kuzika.

Hata hivyo mwili wa marehemu unatarajiwa kufika siku ya ijumaa saa 10 jioni katika uwanja wa mwl Nyerere na kutembezwa baadhi ya maeneo ya jiji na kisha kwenda kuwekwa hospitali ya Lugalo kwa ajili ya siku ya ijumaa ambapo utaagwa katika viwanja vya Karimjee na kwusafishwa mpaka Nyumbani kwao Bukoba.

download latest music    

Mh rais magufuli aliweza kuwa mstari wa mbele katika mapito yote ya Ruge tangu akiwa mgonjwa kwa kutoa pesa ya matibabu na hata sasa amekuwa mstari wa mbele kuwa karibu na familia katika kipindi hiki kigumu.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.