Mi Peter Sijawahi Kumuona,Nilikuwa Namuona Casto :-Sholo Mwamba.

Msanii wa singeli nchini, Sholo Mwamba ambae hapo awali aliwahi kufanya kazi na muna love ameongea na waandishi wa habari na kusema kuwa amesikia habari za muna kufiwa na mtoto wke na amesikitishwa sana lakini yeye na muna hawana mawasiliano yoyote hivyo anatuma salamu zake za pole.

Sholo anasema kuwa hata katika akaunti zake za instagram alishamblock kwaio hana namna ya kuwaisliana nae lakini hajawahi kujua habari zozte za peter lakini ameshawahi kuonana na casto mara nyingi sana na hata hospitali mtoto alipokuwa akiumwa walikuwa wakiangaika na casto hospitali.

download latest music    

Muna ameniblock instagram , lakini habari za msiba wa mtoto ninazo.nampa pole sana .kuhusu huyu peter mimi sijawahi kumuona kabisa ila nilishawahi kunuona casto mara nyingi sana lunc na hata mtoto alikuwa akiumwa tulikuwa tunaenda na casto hospitali  na kila sehemu .

nimeondoka kwa muna kwa sababu ya maswala hayo hayo  ambayo sasa hivi ambayo sasa hivi yanamtokea puani sasa hivi, niliondoka pale kwa sababu siwezi kuwa nawaita wakina dogo janja baba.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.