“Mimi Harmonize hawezi kuniacha” Wolper

Wolper alikuwa kwenye mtandao wa Central Filamu wiki hii ambapo alizungumzia uhusiano wake na Harmonize.

Alidai ya kwamba woko pamoja na hakuna ataye watenganisha.

download latest music    

“Wengi wanaongea sana kuhusu mpenzi wangu kama anatoka na wanawake wengi pengine inaweza kuwa ndio sababu ya kuniacha mimi hicho hakiwezekana wanaongea kama kuna wasichana wanajipendekeza watachezewa tu,” alisema Wolper.” Alisisitiza.

Hao wawili wamerudiana wiki kadhaa tu baada ya kusemekana wameachana.

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi