Mimi na Hemed Tumekuwa Tukigombana kila Baada ya Wiki Mbili :-Gelly

Msanii anaetamba kwa sasa na wimbo wake wa Washa amefunguka na kuongelea mahusiano yake na msanii mwenzake Hemed ambae anasema kuwa walikuwa watu wa kugombana sana kipindi cha nyuma lakini kitu cha ajabu ni kwamba kwa sasa hivi wamekuwa marafiki sana.

Gelly anasema kuwa hata katika baadhi ya kugombana kwao ilikuwa ni kwa sababu ya wanawake ambapo anasema kuwa hemedi alikuwa anweza kumzidi kete na akamchukulia mademu zake na hivyo yeye anachofanya pia ni kukaa vizuri na kujipanga na kumchukulia pia.

download latest music    

Mimi na Hemed tumekuwa tukigombana na kuzozana kila  baada ya wiki mbili,, tulishapigana sana lakini kwa sasa tumekuwa zaidi ya marafii yaani ni kama ndugu. Ananichukulia demu wangu na mimi nikikaa vizuri namchukulia wa kwake.

Kwa kumalizia katika mahojiano hayo Gelly anasema kuwa amekuwa mtu mwenye ndoto kubwa ya kutaka kuwa Producer wa filamu zenye mafanikio .

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.