Mimi na Ruby Hatuongei na Wala Sio Marafiki.:-Nandy

Mwanadada Nandy amefunguka na kuelezea mahusiano yake na mwanadada mwingine ambae aliwahi kuigva na kutamba sana katika muziki ambae kwa sasa pia anajitahidi kurudi kwa kasi kutokana na kazi zake.

Mwanadada Nandy anasema kuwa hakuna ukweli kuwa yeye na Ruby wamekuwa wakigombana kisa mafanikio na jina kwa mashabiki kutokana na muziki lakini wamekuwa tu hawaongei kwa sababu hawakutana mara kwa mara wala kufanya kazi pamoja.

download latest music    

Tetesi zelizowahi kusamba baada ya nandy kuwa anfanya vizuri katika muziki ni kuwa , wawili hoa wamekuwa maadui wakijaribu kugombia mashabiki tena hasa kutokana na kuwa wawili hao kidogo wamekuwa wakiimba muziki unaofanana.

Akiongea na Mzazi Mtuva wa mambo mesto jijini kenya Nandy anasema “mimi na Ruby hatuongei lakini tujo poa kabisa, na sio marafiki na wala sijui mara ya mwisho kumuona ilikuwa lini, lakini tuko poa na tukionana tutasalimiana.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.