Mimi Napenda Sana Wanaume;-Rosa Ree

Mwanadada Rosa Ree amefunguka na kuwashangaa Baadhi ya mashabiki wanaokaa na kumuhukumu kuhusu swala la mahusiano kwa sababu amekuwa kimya na wala hataki kumuonyesha mtu anaetoka ane kimapenzi.

Rosa Ree anasema kuwa wapo baadh wanaomwita kuwa ni msagaji lakini amekuwa akishangaa swala hilo kwa sababu kwa upande wake aamini swala la Mapezi ya jinsia moja hivyo  wake si kitu cha kawaida.

download latest music    

Hata hivyo Rosa Ree anasema kuwa anaamini kuwa mwanamke ameumbwa kwa ajili ya mwanaume hivyo usagaji kwake sio dili.

hivi karibuni walisema natoka na MT . mara natoka na Billnass kisa tu tulisafiri tukaenda kutoa ngoma nje ya nchi, am just working guys, mimi sijui kuhusu hiyo idea ya wasichana kuwa wasagaji lakini ilishazoeleka kuwa ili msichana aweze kufanya mzuki wa hip-hop lazima awe mgumu kama mwanaume,wakikuona umevaa kama mwanamke wwanaanza kukuliza kwanii umevaa hivyo.

i dont believe in mapenzi ya jinsia moja,i love men men, nawapenda sana wanaume na ninaamini kuwa wanaume wameumbiwa sisi.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.