Miss bella Aamua Kuweka ukweli wa mahusiano yake na Godzila

Mwanadada anaejulikana kwa jina la Bella ambae alikuwa akifanya kazi katika studio ya Godzila na pia akiwa kama msanii anayesimamiwa na marehemu amefunguka na kuelezea kuwa yeye ndie aliekuwa msichana wake wa mwisho kabla ya mauti kumfika msanii huyo usiku wa jana.

Mwanandada huyo ambae ndio alikuwa akitumiwa na watu katika kutoa habari za marehemu na hata hatua zake za mwisho kabla ya kufariki amekuwa akitoa ushirikiano mkubwa kwa vyomba vya habari alkini kumbe amekuwa na maumivu ya kuficha mahusiano hayo hivyo ameamua kuweka wazi kupitia ukurasa wake wa instagram

download latest music    

katika ukurasa wake,mwanadada huyo alisema

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.