Mkubwa Fella Adai Hana Kinyongo na Juma Jux

Mdau mkubwa wa  muziki Bongo Mkubwa Fella ambaye alikuwa Meneja wa wasanii kama Wanaume TMK, Mkubwa  wanawe  Yamoto Band na amesema hana kinyongo na aliyekuwa msanii wake Jux.

Mkubwa Fella amesema pamoja na kulea hafanyi kazi za kimuziki na Jux kama ilivyokuwa zamani lakini sio kusema kinyongo na yeye Hapana bali bado anamkubali sana na kazi zake.

download latest music    

Kwenye mahojiano aliyofanya na Bongo 5, Mkubwa Fella amesema kwa sasa Jux ni mtu wake wakaribu zaidi kwa kuwa anaukubali muziki wake.

Bwana Jux amebaki kama shabiki yangu, kwa sababu tayari ameshakuwa lakini akitaka mawazo nitampatia kwa sababu sasa hivi anafanya kazi na watu wengine lakini kwangu ametoka ameshatoboa.

Yule ni mwanangu wa dhahabu, kwanza mimi ni shabiki yake namba moja kuliko mtu yoyote“.

Jux amesema ameendelea kufanya vizuri na kila ngoma ambayo amekuwa akitoa ambapo kwa sasa anategemea kuanza Tour yake na mpya na mpenzi wake Vanessa Mdee inayoitwa ‘In Love and Money”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.