Mkubwa Fella Ashtushwa na Kuachana kwa Aslay na Tessy

Aliyekuwa meneja wa kundi la ya moto band mkubwa Fella, kundi  ambalo lilikuwa likiundwa na wasanii wanne chipukizi amefunguka na kuonyesha kushtushwa kwake na taarifa kuwa moja ya wasanii walikokuwa wakiunda kundi hilo amb ae ni aslay ameachana na aliyekuwa mpenzi wake a siku nyingi ambae pia ni mama wa mtoto wake mmoja.

Mkubwa Fella anasema kuwa taarifa hizo alikuwa haziamini hata kidogo na kwamba hakuona kama kuna umuhimu wa kuzifatilia kwa sababu zilikuwa zikisambaa katika mitandao ya kijamii tu.

download latest music    

Mkubwa fela anasema atakuwa tayari kufanya usuluhisho endapo wawili hao wataamua kutaka kumjulisha tatizo hilo na sio kubeba habari kutoka katika mitandao ya kijamii kwa sabab habariz hizo mara nyingine huwa sio za kweli.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.