Mpenzi Mpya wa Hamisa Amuumbua Tahiya.

Mwanaume anaesadikika kuwa na mpezi mpya wa Hamisa Mobeto amefunguka na kuonyeshwa kukerwa na tabiaya wanadada Tahiya ambae ni video queen na model kuwa amekuwa akitangaza kama bado wapo katika mahusiano ya kimapenzi wakati walishaachana siku nyingi.

Mwanaume huyo anasema kuwa anamuomba dada huyo kuacha kufanya hivyo anavyofanya kwa sababu wao tayari walishaachana siku nyingi na wala hukana haja ya kuwaaminisha watu kuwa wapo pamoja.

download latest music    

Ikumbukwe kuwa wiki chache zilizopita mwanadada tahiya aliwahi kumtuhumu Hamisa kuwa amemuibia mpenzi wake na kwenda nae Zanzibar ambap baadaya hayo jamisa aliamua kumtambulisha mwanaume huyo.

Siku hizi mbili zilizopita, katika ukurasa wake wa snap , mwanadad tahiya aliamua kuweka picha ya saa ya mwanaume huyo kuonyesha kuwa wawili hao wapo katika mahusiano, hivyo kiajana huyo aliamua kukanusha .

Alichopost Tahiya katika ukurasa wake

Alichojibu kijana huyo baada ya kuona post ya Tahiya

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.