Mpenzi Wa Hamisa Atajwa Kuwa Mcheza Mpira Wa Kikapu Nchini Marekani

Mwanamitindo na msanii wa Bongo fleva Hamisa Mobetto alimuweka wazi Mpenzi Wake Mwishoni mwa wiki iliyopita Kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Kwa taarifa zaidi kutoka kwenye mitandao ya kijamii zinasema kijana huyo mtanashati anaitwa Josh Adeyeye ambaye Ana asili ya Nigeria lakini ni mzaliwa wa Marekani.

download latest music    

Josh anatajwa kuwa na umri wa miaka 25 na urefu wa futi 6.5 Lakini pia ni mchezaji wa Basketball na anatajwa kuwahi kucheza katika timu za NBA ingawa hivi sasa ni Free Agent.

Kwenye NBA amechezea timu Kama vile Dolphins, Maine Red claws.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.