Mr Nice Amuanikia Mtoto Wake wa Kike kwa Mara ya Kwanza

 

Msanii wa muziki wa siku nyingi Mr Nice kwa mara ya kwanza ameamua kuweka picha ya mtoto wake wa kwanza katika kurasa zake za mitandao ya kijamii.

download latest music    

Mr Nice alshindwa kujiuzuia kuonyesha hisia zake baada ya kuweka picha hizo alianza kupokea maswali ya mashabiki zake ambao walikuwa wakimuuliza kuwa binti huyo ni nani na ndipo alipoamua kuwajibu kuwa huyo ni mtoto wake wa kwanza.

Mtoto huyo na Mr nice hawajawahi kuonekana  pamoja kwa mara nyngi zaidi ya kuweka picha wakiwa pamoja miaa kadhaa iliyopita wakiwa wote.

 

Binti huyo mwenye miaka zaidi ya 18 anahisia wa kuishi nchi Kenya au Uganda ambako msanii huyo amekuwa akifanya kazi huko mara nyingi.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.