Mrembo Adaiwa Kunywa Sumu Kisa Mbosso.

Mrembo mmoja aliejulikana kwa jina ,la Sherry anadaiwa kunywa sumu kwa kulikosa penzi la msanii Mbosso ambae kwa sasa anafanya vizuri katika wimbo wa Hodari.

watu kutoka mtaani kwa mwanadada huyo anasema kuwa mwanadada huyo amekuwa akichanganyikiwa na msanii huyo kiasi kwamba  hata katika maa anaokaa watu wamekuwa wakimwita mrs mbosso na kama ukitokea ukamwita jina hilo anakuwa mwenye furaha ya kupitiliza.

download latest music    

Watoa ubuyu hao wanasema kuwa mwanadada huyo amekuwa akimsumbua sana msanii mbosso kwa kumtumia sms kila siku na hata alimuomba kuwa katika wimbo wake wa hoadri aweze kumtaka jina lake tu ili aweze kulizika.

Hata hivyo baada ya siku kadhaa wimbo huo kutoka, baadhi ya marafki zake walianza kumtani kwanini hakutajwa katika wimbo huo kama yeye ndio mrs mbosso, kwa hasira mwanadada huyo alikimbia na kwenda kununua sumu ya oanya na kuinywa lakini aliona hali inaanza kuwa mbaya alianza kulia na kusema kuwa alikunywa sumu.

Waliokuwepo karibu  pamoja na dada yake walimkimbiza katika hospitali moja hapo buguruni na kupumzishwa kwa masaa kadhaa.

Baada ya kutafutwa kwa mrembo huyo alikiri kuwa ni kweli lakini aliema kilichomuumiza zaidi ni vile marafiki zake walivyokuwa wakimsema na kumtania kuhusu swala hilo.

Hata hivyo mbossoa anasema kuwa hakuwahi kujua kuwa kuna watu wamekuwa na mapenzi ya dhati na yeye kiasi hicho.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.