Mrisho Mpoto Amshukuru Diamond Kufika Msibani.

Msanii Mrisho Mpoto ambae alituma salamu kwa msanii Diamond platinumz kuwa anatakiwa kufika katika msiba wa ruge mutahaba na baada ya salamu hizo Diamond platinumz alifika kweli katika msiba huo katika uwanja wa Karimjee mabapo ndipo alipokuwa akiagwa Ruge.

Hata hivyo kutokufika kwa Diamond kwa muda mrefu msibani tangu msiba huo ulipotokea kumezua gumzo kwa watu kwamba kwanini hakutokea tangu siku ya kwanza ya msiba na hata kufika siku ya kuaga na bado hakufika katika muda unatakiwa.

download latest music    

Hata hivyo msanii huyo alifika na familia yake na kukaa nje na hata hakuruhuiswa kukaa ndani  kwa sababu ya kuchelewa kwake.

katika ukurasa wake wa instagram, Mrisho Mpoto alisema “NIMETUKWANA SANA KWA SABABU YA KUKUOMBA KUJA KUMZIKA RUGE ,ASANTE KWA KUNIHSHIMU NA KUNISIKILIZA, KWA KILA ALIENITUKANA NAOMBA ALALE NA HILI NENO HILI “nyumba ya mzaramo haikosi kuwa na mbilimbi”

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.