Msambwanda Wa Wema Wazua Gumzo Mtandaoni (picha)

Muigizaji wa Bongo movie Wema Sepetu maarufu kama ‘Tanzania Sweetheart’ amezua gumzo mtandaoni / Instagram baada ya kuweka picha zake zilizochora umbo lake.

Msambwanda wa Wema umezua gumzo mtandaoni baada ya kuweka picha zilizomuonyesha akiwa amevaa mavazi ya kumchora umbo lake. Wasanii mbali mbali wa Bongo fleva wakali kama Diamond na Aslay wamemuimba Wema na shepu yake hiyo matata.

download latest music    

Mwishoni mwa wiki iliyopita Wema akiwa nchini Rwanda alihudhuria sherehe inayojulikana kama Instagram party ambapo alipiga picha mbali mbali ambapo picha hizo ndizo zilizozua gumzo huku kila mtu akifunguka lake juu ya msambwanda wake wa haja.

Hizi ni baadhi tu ya picha za Wema Sepetu zilizozua gumzo mtandaoni:

 

 

 

 

.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.