Msanii Adai Hamisa Anastahili Kuolewa Kwa Mahari Ya Mil. 300

Msanii anayejulikana Kama Joto Dar Es Salaam ameibuka na kudai kuwa msanii mwenzake Hamisa Mobetto anastahili kuolewa kwa mahari ya milioni 300 kutokana na urembo Wake.

Muimbaji huyo ameyasema hayo siku ya jana wakati akizungumza na waandishi wa habari katika uzinduzi wa wimbo wake mpya “Amber Tuma” akiwa amemshirikisha Papii Kocha.

download latest music    

Mimi tayari ni mume wa mtu Lakini ningekuwa sijaoa kwa hapa Tanzania ningependa kumuoa msichana mmoja ambaye ni mrembo kati ya warembo wote ni Hamisa Mobetto.

Yaani mimi ningemuoa Hamisa Mobetto kwa gharama yoyote ile yaani hata wangesema milioni 300 ningetoa kumuoa kwa sababu kwanza ni mzuri sana lakini pia naona ana tabia nzuri sana”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.