Msanii Bongo Movie Auza Figo Ili Kupata Ela ya Kurekodi

Msanii wa maigizo na filamu Tanzania antokea mkoani Iringa anaejulikana kama  Erasto Kilowoko maarufu kama Magumashi amekaririwa kusema anauza figo kwa sababu  hana ela ya kurekodi ilhali ndoto zake ni kufanya vizuri kumuziki.

Magumashi anasema kuwa lengo lake kubwa la kuuza figo ni kupata ela itakayomwezesha kurekodi movie yake  mpya ambayo ina lengo la kuwaelimisha vijana kuhusu maisha katika jamii kuhusu uzalendo na uwajibikaji.

download latest music    

Msanii huyo ambae kwa sasa kazi yake kubwa ni kinyozi mjini iringa amesema kuwa anauza figo yake kwa sh.milion25 na ameaidi kuwa kwa kuwa serikali inakusanya kodi kwa ajili ya mapato absi na yeye atatoa milion 5 kwa ajili ya kulipa kodi.

nimekuwa nikiomba viongozi na makampuni mbalimbali wanisaidie kutimiza ndoto zangu lakini naona kimya,nataka kuwa kioo cha jamii kwa kutoa elimu kuoitia sanaa.ninauza fiigo milioni 25 na kama serikali inataka mapato nitawapa milioni 5, shida yangu kubwa sio kujenga nyumba au kununua gari ila kutimiza ndoto zangu.

Magumashi anasema kuwa soko la filamu Tanzania ana uhakika sasa hivi litakaa vizuri kwa sabau anaeongoza nchi Mh.Magufuli amekuwa mstari wa mbele katika kuthibiti kazi za wasanii .

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.