Mtitu Akataa Kanumba Kuondoka na Bongo Movies

K wa muda mrefu sana bongo movies imekuwa ikisemwa kuwa imekufa na kwamba aliekuwa akiifanya sanaa hiyo kuendelea ni msanii Kanumba ambae ameshafariki dunia.

Ni muda sasa tangu msanii huyo amefariki na kumekuwa na utoaji wa kazi mpya za filamu na movies na hata pia kuibuka kwa wasanii wapya chipukizi ambao wanafanya vizuri katuka tasnia, na hii inaweza kuwa ndio sababu kubwa ya  moja ya wadau wa bongo movies kukataa kuwa Kanumba ameondoa na bongo movies.

download latest music    

Akiongea na waandishi wa habari, Mtitu anasema kuwa sio kweli kuwa Kanumba ameondoka na bongo movies kwa sababu kila siku kazi mpya zinatoka na wasanii wapya na vipaji vipya vingi vimekuwa vikiongezeka.

 

Shif akubwa iliyop katika bongo movis kwa sasa ni kukosa ushindano na umoja katika kufanya kazi na kukosoana kwa upendo wapi alipokosea mwingine ili mwingine ajifunze kuanzia pale.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.