Muda Mwingine Ndugu Zetu Wanahitaji Upendo Tu :- Cyril Kamikaze

Msani Cyril Kamikaze amefunguka na kuwataka watu hasa wasanii kuwa na upendo na watu wanaowaunguka kwa sababu muda mwingine mtu haitaji msaada wowote zaidi ya upendo kutoka kwetu kabla ya kifo chao.

Maneno haya yamekuwa yakisemwa karibia na kila mtu na hasa kwa wasanii ambao kioa mtu amekuwa akilalamika kuwa mnafiki kwa sababu wamekuwa wakijari  na hata kuwaposti wasanii wenzao pale wanapoata taarifa kuwa wamekufa lakini kwa kipindi wanachokuwa wakiumwa hakuna anaetaka kujali kuhusu uginjwa .

download latest music    

Kamikaze anasema “Tuwe karibu na jamii, ndugu , marafiki na watu wetu wakiwa hai,, muda mwingine watu hawa wanachohitaji ni upendo tu.we are all we Got.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.