Mume Mtarajiwa wa Wema Atajwa Kumdhulumu Wema Pesa

Mwanadada Wema Sepetu anasemwa kuwa katika kipindi kigumu kwa sasa kwa kile kilichodaiwa kuwa mume wake mtarajiwa aliesemekana kuwa anataka kumuoa hivi karibuni alifikia hatua ya kumdhulumu pesa zote ambazo nyingine zilikuwa na lengo la kumfanya afungue biashara yake mpya ambayo alikuwa akiitangaza.

Wiki iliyopita Wema alioomba msamaha kwa mahsbiki pamoja na serikali baada ya kuvujishwa kwa pichaa kiwa faragha na mpenzi wake huyo , lakini wema alionekana kuwa na kitu alitaka kusema lakini alikuwa akisita kila mara.

download latest music    

Hata hivyo baada ya kuchunuza sana , watu wake wa karibu na Wema walipokuwa wakiongea na waandishi wa habari wanasema kwa sasa wema yupo katika wakati mgumu kutokana na kuwa mwanaume huyo ambae alimuamini kuwa anaweza kumuoa hakuana na lengo la kumuoa zaidi ya kutaka kiki na kumtapeli pesa.

 Wema yuko katika wakati mgumu sana, ni kweli wema aliingia katika mahusiano na huyo bwana ambae kwa kifupi anaitwa PCK , ila amemtapeli mamilioni ya pesa na kwa sasa mwanaume huyo anatafutwa na jeshi la polisi-Alisema mtoa habari huyo ambae ni mtu wa karibu na wema ila hakutaka kujulikana.

Ikumbukwe kuwa kipindi wema anaanza mahusiano na mwanaume huyo watu waliosemwa kuwa walikuwa wamedhulumiwa na mwanaume huyo walikuwa wengi huku wengine wakisema kuwa wamemfungulia kesi polisi lakini wema hakujali maneno hayo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.