Mume Wa Mama Diamond Afunguka Mazito

Mume wa mama Mzazi wa Msanii wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Mama Dangote amefunguka mazito kuhusu mke Wake na kuamua kuyaanika hadharani kabisa.

Mume wa Mama Diamond anayejulikana Kama Maisara Shamte ameibuka na kumfungukia mazito mke Wake Mama Diamond.

download latest music    

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Shamte amefunguka na kueleza Jinsi gani anavyompenda bibi huyo wa wajukuu watano na kusema amemchaganya Mpaka anataka kulipa tena mahari:

Yaani kuna wakati nakuangalia Mama Dangote halafu nasema mbona mahari nimelipa kidogo halafu nimeishia kupata kitu kikubwa sana basi naishia tu kusema Asante Mungu, Yaani Ikifika asubuhi natamani kukuamsha uende shule kwa Jinsi ulivyofanana na vitoto vya shule “.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.