“Mwaka 2018, Nilitimiza Ndoto Zangu”- Vanessa Mdee

Msanii wa muziki wa Bongo fleva nchini Vanessa Mdee maarufu kama ‘Vee Money’ amefunguka na kuweka wazi kuwa mwaka 2018 ulikuwa mwaka mzuri sana kwani alitimiza Ndoto zake nyingi.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la  Ijumaa Showbiz, Vanessa alisema mwaka 2018 alitimiza baadhi ya ndoto zake ikiwemo kuzindua albam yake ya Money Mondays na viatu vyake ya Bora Star by Vanessa Mdee.

download latest music    

Mwaka 2018 ulikuwa poa sana kwangu, namshukuru Mungu nilitimiza baadhi ya ndoto zangu ikiwemo kuzindua albam yangu ya Money Mondays na viatu vyangu vya Bora Star by Vanessa Mdee, naomba Mungu azidi kunifanikishia zaidi na zaidi mwaka 2019“.

Lakini pia Vanessa habanero mpango wa kuishia hapo kwani 2019 ana mipango makubwa zaidi kibiashara kwani hapo baadae anategemea kuja biskuti cha chokoleti zitakazoitwa Vee Choc.

https://www.instagram.com/p/BnGAQ2FByh2/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1dcqd85ipi7mo

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.