Mwili Mpya wa Wema Sepetu Wazua Gumzo

Mwili wa mwanadada Wema Sepetu umezua mjadala mkubwa katika mitandao ya instagram baada ya mwanadada huyo kuanza kuonyesha picha zake za mwili wake kwa jinsi livyopungua kwa sasa.

Mwanadada huyo ambae alisemwa sana kipndi fulani baada ya habari kusambaa kwamba mwanadada huto amekwenda kukata utumbo ili aweze kupunguza mwili wake na kuumwa sana hata afya yake kulegalega.

download latest music    

Wema sepetu kwa sasa anazidi kurudi katika  mwili wake wa zamani kipindi alipokuwa miss na umbo hilo limewafanya watu wengi kumtamani sana kuwa kama yeye.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.