Na Kimvua Hiki Uniambie Ratiba, Atadodondoka Mtu:-Dogo Janja.

Msanii Dogo Janja ametolea ufafanuzi wa ratiba iliyosambaa katika mitandao ya kijamii baada ya msanii huyo kuipiga picha na kuiweka katika ukureasa wake wa snapchat na kusemekana kuwa ilikuwa ni ratiba aliyokuwa amepangiwa na mke wake juu ya kufanya tendo a ndoa.

Dogo Janja anasema kuwa ni kweli alikuwa amelala na kuamka alikutana naratiba hiyo lakini irene ni mke wanke na mara nyingi amekuwa akipenda utani na ndio maana hata yeye aliamauakuiweka katika snap kwa sasa ilikuwa ni utani.

download latest music    

Nilikuwa nimelala nimekuja kuamka nikakuta na ratiba ya ukutani ,nikaiangalia nikaipiga picha nikaiweka kwenye mitandao ya kijamii.unajua yule ni mshikaji wangu sana na alikuwa akinitania sana, na hta hivyo yeye ndio alikua wa kwanza kuipost, na kimvua hiki uniambie ratiba!atadondoka mtu.

Siku za nyuma kidogo kulisambaa kwa picha ikionyesha karatasi inayomtaka Dogo Janja kufata ratiba ya kupewa tendo la ndoa na mke wake Irene Uwoya.

Dogo janja na irene uwoya tangu wamefunga ndoa na kuwa pamoja wamekuwa na drama nyingi sana katika mitandao ya kijamii ambapo kwa upande wao wanaona ni kitu cha kawaida na maisha yanaendelea.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.