nady akiri video yake ya utupu ilimpa aibu.

mwanadada NaNdy anasema kuwa moja ya vitu vilivyowahi kumnyima amani na kumtia aibu ni ile video yake iliyosambaa ikimuonyesha yeye na Billnass wakiwa faragha na kusambaa sana katika mitandao ya kijamii .

Nandy ambae alikuwa katika mahusiano na msanii mwenzake Billnass  waliingia matatani siku za nyuma baada ya video hiyo kusambaa katika mitandao ya kijaimii kipindi ambacho Nandy alishakaaa sana kuhusu ukaribu wao na hata kusema kuwa hawakuwa na mahusiano yoyote.

download latest music    

hata hivyo  baada ya kusambaa kwa video hiyo wawili ho walitakiwa kuomba msamaha mbele ya umma kwa kosa hilo huku wakionywa na BASATA.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.