Nampenda Sana Jokate, Mtu Akimsema Naumia-Haji Manara

Mkuu wa utohaji habari katika club ya Simba Haji Manara amefunguka na kusema kuwa anampeda sana Jokate Mwegelo kwa sababu ni msaichana anasikia, kujali na kutoa ushauri kwa wengine.Haji manara anasema kuwa katika wanawake maarufu wa bongo anavutiwa zaidi na Jokate kuliko haa Wema sepetu.

mimi ni shabiki sana wa Jokate, nampenda sana lakini sio kimapenzi niweke wazi , ni rafiki yangu na katika wasichana maarufu bongo nampenda sana Jokate , naumia sana wakimsema Jokate alafu ni mwanamke ambae anasikiliza hata ukimshauri unakuwa unasikia raha.

Kuhusu kauli yake ya kumuoa wema sepetu haji mamanra ansema kuwa huo ulikuwa ni utani katika mpira ili kusisitiza kubadilishwa kwa ratiba ya Ligi kuu Tanzania Bara.Na hiyo yote kwa sababu Wema sepeyu ni msichana mrembo na mwenye nguvu kubwa ya ushawishi anweza kutumika katika matukio makubwa nchini.

download latest music    

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.