Nandy Afuata Nyayo za Dogo Janja.

Mwanadada Nandy ameamua kufuata nyayo za msanii mwenzake Dogo Janja baada ya kuonyesha mafanikio yake ya kujenga nyumba mpya kwa ajili ya wazazi wake jambo ambalo anashukuru ameweza kulifanikisha kwa mwaka uliopita 2018.

Mwanadada huyo aliamua kuweka nyumba hiyo katika ukurasa wke wa instagram , ikiwa kama moja ya shukrani zake kwa mwaka 2018 kwa mafanikio yake aliyoyapata.

download latest music    

Mwanadada huyo anasema kuwa ameamua kujenga nyumba hiyo kwa ajili ya wazaiz wake ikiwa kama njia ya mafanikio kwa kazi zake.

Nyumba alionyesha Nandy kuwa ni zawadi kwa wazazi wake kwa mwaka 2018

 

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.