Nandy Aomba Asifananishwe Kiuchumi na Wasanii Waliotangulia

Mwanadada Nandy amefunguka na kusema kuwa amekuwa akikerwa sana pale anapofananishwa kimafanikio hasa ya kiuchumi na wasanii wakubwa waliotangulia katika muziki kabla yake kwa sababu hawezi kulingana nao kwa kuwa wao walishatagulia.

Kauli ya nandy inakuja baada ya mashabiki kuanza kumshindanisha na wasanii wengine waliotangulia hasa baada ya kupost katika mitandao kuwa ameweza kuwajengea wazazi wake nyumba huku akionyesha baadhi ya magari ya bei gari ikiwemo BMW.

download latest music    

mimi nina miaka miwili katika hame la muziki na kuna watu wanamuda mrefu sana katika game, kwaio nimekuwa nikiheshimu sana uwepo wao,  kwaio sidhani kama ni sawa kunifananisha nao kwa sababu na waowalianza kupokea mkwanja wa show  kama mimi .

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.