Nandy na Lulu Diva Wawatatiza Mashabiki

Mwanadada Nandy na msanii mwenzake wa kike  Lulu Diva wamewaacha mashabiki katika njia panda baada ya wawili hao kila mmoja kwa nafasi yake kuonekana akiwa na lebo inayotatizza huku watu wakihisi kuwa lebo hiyo ni ya  mwannaume mmoja.

Hapo nyuma , Nandy alikuwa akihojiwa na mashabiki hasa kutokana na kuvaa kofia iliyoandikwa Joho 001, ambapo ni lbo ya rafiki mkubwa na alikiba anaekaa huku nchini mombasa.

download latest music    

Lakini wikiendi hii picha moja ya Lulu diva ilisambaa katika mitadao ya kijamii ikimuonyesha msanii huyo wa kike akiwa amechra tatoo yenye jina kama hilo la Joho katika mkono wake.

Hata hivyo mashabiki wamekuwa wakihoji juu ya nembo hiyo kwa wadada hao wawili kama imekuwa ikiashiria kitu kimoja au la.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.