Nay wa Mitego azindua msanii wake wa kwanza kwenye label yake mpya

Free Nation 966, label mpya ambayo Nay wa Mitego alizindua imefahamisha msanii wa kwanza.

Ni rapa anayejulikana kama B Gway atakaye fuatwa na mwimbaji hivi karibuni.

download latest music    

“Leo label yangu ya ‘Free Nation 966’ imemtambulisha kijana wake wa kwanza ‘B Gway’,” alisema Nay. “Ni msanii mkali sana, sikutaka kumchukua msanii ambaye anatanisumbua, tena wimbo wake wa kwanza ‘Sijachukua’ amenishirikisha,”

Aliongeza, “Kwahiyo ningependa kuwaambia mashabiki wasubirie mambo mazuri kutoka ‘Free Nation 966’. Pia siku chache zijazo tutamtangaza msanii mwingine wa kuimba,” Nay wa Mitego alieleza Bongo 5.

 

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi