Nay wa Mitego:Sasa Hivi Sitaki Kubishana na Mtu Nataka Kufanya Kazi Tu

Msanii Ney wa Mitego amefunguka na kusema kuwa kwa upande wake huu sio muda wa yeye kugombana au kushindana na watu bali sasa hivi ameamua kufanya kazi kwaio kwa wale wanaosema yeye hatokaa hawajibu bali atawajibu kwa kazi.

Alipokuwa akiongea katika kipindi cha Planet Bongo, Ney wa Mitego ambae sasa hivi anafanya vizuri na kibao chake cha mikono juu amesema kuwa kwa sasa amekuwa akihangaka sana ili kukuza na kuupeleka muziki wake mbele na sio kitu kingine.

download latest music    

Sasa hivi sitaki kujibizana na mtu kabisa kabisa , this time nataka kufanya kazi ili niupeleke muziki wangu mbele kwa watu wangu.miaka miwili  mitatu nilikuwa nafanya kazi na hivi vitu vingine nilikuwa ninaviweka vinakuja nyuma tu.tis time nikiona mtu anaingia na aantaka kuleta kelele na mimi basi ninampisha tu akaendeleae na vitu vyake maana huo sio muda wangu.

Wimbo wa Ney wa Mitego mpya umekuwa ukifanya vizuri na hata kupugwa katika madaladala na bodaboda ambapo Nay wa Mitego anasema kuw akiwa anafikiria kufanya mzuiki huo icho ndicho alikuwa anakitaka kwaio sio mbaya kwake.

hivi juzi kati, Nay wa Mitego aliingia katika mgogoro na Godzillah kutokana na wimbo wake huo mpya ambao Godzillah aliupondea sana wimbo huo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.