“Ni upumbavu tu!” Baraka Da Prince atoa kauli yake kuhusu wimbo mpya ya Ben Pol

Baraka Da Prince amekashifu wimbo mpya ya Ben Pol unaoitwa ‘Tatu’. Msanii huyo alisema alikuwa anategea wimbo kali sana kwasababu Ben Pol alitengeneza kiki kubwa mitandaoni na picha zake za utupu kabla ya kuachia wimbo wake mpya.

Da Prince alisema ‘Tatu’ ni upumbavu tu na kuongezea kusema kwamba hakufurahiswa kabisa  na wimbo huo.

download latest music    

“Nimekuwa ‘disappointed’ sana huu wimbo…Kwa jamaa alivyojitoa nilidhani ni kitu kikubwa kumbe upumbavu..’Save our music”. Da Prince aliaandika kwa Instagram.

Skiza ‘Tatu’ hapo chini:

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere