Nikki Wa Pili Amwaga Povu Zito Kwa Wasanii Wakaa Uchi

Msanii wa muziki wa Hip Hop nchini Nikki Wa Pili amewaji juu na kuwatolea povu zito mastaa ambao wameandamwa na skendo ya kuweka picha na video chafu zenye maudhui yasiyo ya kimaadili  kwenye mitandao ya kijamii.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Nikki wa Pili amewachana watu hasa wasanii wanaotafuta kiki kupitia vitu visivyo na maana.

download latest music    

https://www.instagram.com/p/BpYt1DMjQna/?utm_source=ig_web_copy_link

Amber Rutty, Wema Sepetu na Gigy Money ni baadhi tu ya mastaa ambao hivi sasa wanatengeneza headlines kwa vitendo vyao vya kuachia picha chafu kwenye mitandao ya kijamii huku baadhi yao wameshachukuliwa hatua za kisheria.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.