Nina Nyumba USA na Ndipo Yatakapokuwa Makzi Yangu.:-AY

Msanii wa kitambo katika muziki na mpaka sasa amekuwa akifanya vizuri katika game AY, amefunguka na kusema kuwa ni kweli kuwa anamilikinyumba kwa sasa nchini marekani ambapo ameinunua hivi karibuni lakini anategemea kuwa huko ndipo yatakapokuwa makaiz yake.

akiwa kama mmoja ya wasanii weny mafanikio makubwa lakini hawakuwahi kutaka kuonyesha kwa kila mtu na hata katikia mitandoa y akijamii , AY kwa sasa anasema kuwa atakuwa na makzi nchini huko kwa sababu tu ameamua kukaa huko.

download latest music    

Aangu hapo awali kulikuwa na tetesi hizo kutokana na baadhi ya picha zilizowahi kusambaa zikimuonyesha msanii huyo akiwa ameseimama mbele ya jumba la kifahari na moja ya wadada wanaosemekana kuwa ni madalali wa nyumba huko USA.

Akiwa katika mhojiano ya kutambulisha ngoma yake mpya iliyokwenda kwa jina la SAFARI aliyomshirikisha king kiki, AY aliulizwa na B-Dozen kuhsu kumiliki nyuma nchi USA na alisema “ni kweli nimefanikiwa kupata nyumba huko na ndipo kwa sasa yatakuwa makazi yangu ”

Hata ni mafanikio makubwa kwa AY mabe kwa sasa amebahatika kupata mtoto mmoja na mkewe waliofunga nae ndoa mwaka uliopita.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.