Nina Sifa Zote za Kuwa Mke wa Chid Benzi:- Mariam

Watu wengi walikuwa wakiamini kuwa msanii Chid Benz hana mke wala familia inayomtegemea wala kuwa nayo karibu zaidi ya mama yake mzazi na kwamba msanii huyo amekuwa akiishi kwa mama yake miaka yote ya usanii na hata baada ya madhira anayomkumbana nayo kila siku.

Lakini kumbe sio kweli kwa sababu msanii huyo anakaa na mke wake ambae amekuwa nae bega kwa bega tangu kipinid hicho cha zamani mpaka matatizo yanayomkumba Chid amekuwa ane hakuwahi kumuacha na hii yote ni kuahakikisha kuwa Chid yuko salama.

download latest music    

Wakiwa mkoani morogoro, chid benz alionekana nawatu mbalimbali hata waandishi wa habari akiwamweny afya na furaha sana na mke wake huyo pamoja na kwamba hapo katikati kulikuwa na picha zilizosambaa kwamba msanii huyo kwa sasa hali yake ni mbaya.akiongea na waandishi mariamu anasema

Ni mwanaume mwenye mapenzi ya dhai na amekuwa akinijali muda wote,huwa najisikia vibaya sana asipokuwa karibu na mimi na nimekuwa nikimsaidia sana  kutegemea na kipindi hicho kuna kuwa na kitu gani.ni mwanaume wa peke tofauti na vile watu wanavyomfikiria na kwakweli mimi ndio mkali wake, nawaoma mashabiki waendelee kumsapoti katika muziki wake.

Tumekuwa wachumba kwa takribani miaka 10 sasa na tumebahatika kupata mtoto mmoja na Mungu akipenda mwakani tutafunga ndoa, nina sifa zote za kuolewa na yeye.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.