Nipo Tayari Kudanga Kumlea Mwanangu:-Gigy Money

Mwanadada  , msanii wa bongo fleva Gigy Money amejikuta akiwatolea povu baadhi ya watu wanaomsema katika mitandao ya kijamii kuhusu yeye kuanza kufanya kazi  bila kujali kuwa mtoto wake hajatimiza hata 40 .

Watu katika mitandao wamekuwa wakimshambulia gigy money kwamba alitakiwa akae ndani mpaka pale itakapofika siku 40 ndipo atoke nje na kuanza kumuacha mtoto nyumbani na yeye kufanya kazi zake.haya yote yana kuja baada ya kusambaa kwa habari kwamba Gigy Money ameanza kazi na kuwa balozi wa kampuni moja ya kondom nchini.

download latest music    

Ogopa sana mapenzi ya mama kwa mtoto,yaani mama anaweza kujikuta anafanya lolote kwa ajili ya kesho ya mtoto wake  ata awe chizi hawezi kumtupa mtoto wake , haijalishi wakati ya mimba alipitia mangapi sasa hivi ninawaza kwa jinsi gani nitamtunza na kumlea mtoto wangu.hata kudanga nitadaga tu npo serious mjue na wale ambao mnanitukana  kwanini kipindi hiki ninafanya kazi , eti nimetoka kabla ya 40, naomba niwajibu kiufupi kama mkubwa utaelewa kama mtoto  endelea kunijazia comments za matusi  yaan ni iviii(utamaduni wa mtanzania ni njaaa ukiwa na njaa unaweza kufanya lolte bila kujali , sidhani kama ningekuwa napewa kila kitu ningetoka nje sasa hivi) so usilaumu kitabu kwa sababu nje umeona fuvu ukajua kuwa ni kitabu cha mazombie.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.