Nisingejiongeza Ningejiuza :-Lulu Diva
Mwanadada Lulu diva amefunguka na kuelezea maisha yake ya nyuma kabla ya kuwa mwanamuziki aklikuwa akiuza na kuhudumiwa katika moja ya migahawa iliyopo jijini.Lulu diva ansema kuwa baada ya kuona kuwa mambo bado ni magumu aligundua kipjai chake na hata kuamua kujiongeza kwa kujituma sana ktaika muziki na mpaka kufikia hatua hiyo ya kufanikiwa sana.
Lulu Diva anasema kuwa kuna kipindi alikutana na masiha magumu huku akiangalia baadhi ya watu wake wa karibu wakifanya baishara haramu na wanatoka kimaishs na alianza kushawishika kufanya hivyo lakini aliamua kukaza buti katika muziki.
Niliwahi kufanya kazi kwenye mgahawa pale Mlimani city, nikaacha na nikaamua kupambana kwa sababu tu nilikuwa nalipwa kidogo sana.maana hata kama nisingetumia akili yangu na kuamua kujikaza katika kuimba ningeweza kujiuza hata kwa hali ya sasa ilivyo.
Lulu diva ni moja ya wasichana waliopo katika game ambao walianza taratibu lakini sasa wanajivunia mafanikio ya kile walichopigana nacho.